Aller au contenu
PodcastsJua Haki Zako

Jua Haki Zako

Jua Haki Zako
Dernier épisode

81 épisodes

  • Jua Haki Zako

    Changamoto za wasichana wanaopata ujauzito wakiwa shuleni

    03/08/2026
    Utafiti wa punde zaidi uliofanywa na Kituo cha Utafiti wa Idadi ya Watu na Afya barani Afrika (APHRC) unaonyesha kuwa, Kusini mwa Jangwa la Sahara, msichana mmoja kati ya wanne anapata ujauzito kabla ya kufikisha miaka 18.
    Ingawa sheria na sera katika nchi mbalimbali katika ukanda wa Afrika Mashariki zinatambua haki ya wasichana hao kuendelea na masomo hata baada ya kujifungua, wengi bado hukumbana na vikwazo vinavyowafanya washindwe kurudi darasani.
  • Jua Haki Zako

    Safari ya akina mama wachanga kutafuta uraia wao na watoto wao mipakani Kenya

    28/07/2026
    Nchini Kenya changamoto za kupata stakabadhi muhimu kama vile vitambulisho na vyeti vya kuzaliwa zingali zinashuhudiwa miongoni wa raia wake hususan kwenye jamii ambazo zinaishi kaunti za miapakani kama vile  Busia ,Turkana na Mandera, hali inayoendelea kuwanyika raia hao haki zao za kimsingi na kukosa huduma muhimu za serikali  . Hii leo katika makala Jua haki zako tunaangazia akina mama hao na watoto wao jimbo la Busia  kwenye mpaka wa Kenya na Uganda
  • Jua Haki Zako

    Kenya: Mawakili waandamana kudai haki

    13/07/2026
    Nchini Kenya, mawakili wameandamana kudai haki kufuatia vifo vya wenzao wawili ambao wameuawa katika mazingira tata.
    Kwenye makala haya tunaangazia malalamishi ya mawakili hao. Sikiliza makala kufahamu mengi.
  • Jua Haki Zako

    Sudan : Amnesty International yasema rsf ilikiuka sheria El fasher

    12/07/2026
    Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu Amnesty International, limeangazia namna gani wapiganaji wa rsf walikiuka sheria wakati wakiteka mji wa El Fasher.
    Skiza makala haya kufamu mengi
  • Jua Haki Zako

    Haki za wakimbizi awamu ya pili

    10/07/2026
    Awamu ya pili makala haya yanaendelea kuangazia haki za wakimbizi mawakili  Maasai Mutune na Rajab Membe, kutoka shirika la Refugee Led Organization Network nchini Kenya, wanajadili haki  hizo.
    Skiza kufahamu mengi.
À propos de Jua Haki Zako
Jua Haki Zako ni makala yanayokuelimisha juu ya umuhimu wa kufahamu haki zako na sheria halali zilizomo kwenye jamii, mataifa na dunia kwa ujumla. Jua Haki Zako itakuelimisha juu ya masuala mbalimbali ya kisheria ndani ya Afrika Mashariki, Afrika na Duniani kwa ujumla.
Site web du podcast
Applications
Réseaux sociaux
v8.12.2 | © 2007-2026 radio.de GmbH
Generated: 8/4/2026 - 4:57:46 PM