PodcastsJua Haki Zako

Jua Haki Zako

Jua Haki Zako
Dernier épisode

68 épisodes

  • Jua Haki Zako

    Unyanyasaji na kunyimwa haki kwa wanawake katika biashara za kimataifa

    17/04/2026
    Licha ya kuongezeka kwa idadi ya wanawake wanaojihusisha na biashara za kimataifa nchini Kenya, wengi wao bado wanakumbana na changamoto kubwa,ikiwemo kudhalilishwa, ubaguzi wa kijinsia na kunyimwa haki zao za msingi wanapojaribu kuingia au kushindana katika masoko ya nje.
    Katika maeneo ya mashambani hadi mipakani, wanawake hawa wanapambana si tu kukuza biashara zao, bali pia kupigania heshima na nafasi sawa katika soko la kimataifa.
    Makala haya yanaangazia wanawake hao.
  • Jua Haki Zako

    Kenya : Mchango wa masharika ya kiraia kwa jamii

    08/04/2026
    Katika  makala haya tunajikita kuangazia mchango wa mashariki yasiokuwa ya kiserikali kwenye jamii zetu.
    Tunaliangazia shirika la Corps Africa ambalo kwa ushirikiano jamii mbali mbali nchini Kenya limeendelea kuleta mageuzi kwa raia.
    Ili jamii kuendelea na kujitegemea inahitaji watu wa kufanikisha baadhi ya maswala kwa jamii kuja na mbinu ya namna gani ya kuwezesha jamii kujiendeleza.
     
    Kutokana na hili ndipo Corps Africa nchini Kenya huwatumia vijana kwa kuwatuma katika jamii mabalimbali, ili kusema na hizo jamii na kutambua namna gani au wanahitaji msaada gani.
  • Jua Haki Zako

    Kenya: Pesa za majanga haziwafikii waathiriwa

    31/03/2026
    Katika makala haya tunaangazia ripoti  kuhusu ufadhili wa majanga na mabadiliko ya tabianchi katika maeneo kame, iliochapishwa na masharika kadhaa likiwemo lile la Oxfarm. shaba ikilenga taifa la Kenya,
    Ripoti hii inaonyesha kuwa licha ya maeneo haya kuathirika zaidi na ukame, mafuriko na mabadiliko ya tabianchi, bado fedha nyingi hazifiki moja kwa moja kwa wananchi wanaohitaji msaada huo zaidi.
    Ripoti hiyo ya Oxafarm inaonyesha kuwa mfumo wa ufadhili wa mabadiliko ya tabianchi nchini Kenya bado una changamoto nyingi, ikiwemo ukosefu wa uwazi, ushirikishwaji mdogo wa jamii, na utegemezi mkubwa wa fedha kutoka nje masharika ya nje
  • Jua Haki Zako

    Kenya : Haki za wafanyibiashara wa soko la Kigomba

    28/03/2026
    Katika makala haya tunaangazia haki za wafanyibiashara katika soko la Gikomba nchini Kenya.
    Kwa muda wafanyibiashara hao wamekuwa wakizozana na serikali kuhusu kipande cha ardhi cha soko hiyo.
    Skiza makala haya kufamu mengi zaidi.
  • Jua Haki Zako

    Kenya : Haki za watoto wa kurandaranda mitaani

    27/03/2026
    Kila mtotto ana haki kwa mjibu wa katiba za kila nchi na maazio ya kimataifa.
    Katika makala haya tunaanhazia haki za watoto wa kurandaranda mitaani.
    Skiza makala haya kufahamu mengi.

À propos de Jua Haki Zako

Jua Haki Zako ni makala yanayokuelimisha juu ya umuhimu wa kufahamu haki zako na sheria halali zilizomo kwenye jamii, mataifa na dunia kwa ujumla. Jua Haki Zako itakuelimisha juu ya masuala mbalimbali ya kisheria ndani ya Afrika Mashariki, Afrika na Duniani kwa ujumla.
Site web du podcast
Applications
Réseaux sociaux
v8.8.12| © 2007-2026 radio.de GmbH
Generated: 4/26/2026 - 9:30:12 AM