Aller au contenu
PodcastsJua Haki Zako

Jua Haki Zako

Jua Haki Zako
Dernier épisode

79 épisodes

  • Jua Haki Zako

    Kenya: Mawakili waandamana kudai haki

    13/07/2026
    Nchini Kenya, mawakili wameandamana kudai haki kufuatia vifo vya wenzao wawili ambao wameuawa katika mazingira tata.
    Kwenye makala haya tunaangazia malalamishi ya mawakili hao. Sikiliza makala kufahamu mengi.
  • Jua Haki Zako

    Sudan : Amnesty International yasema rsf ilikiuka sheria El fasher

    12/07/2026
    Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu Amnesty International, limeangazia namna gani wapiganaji wa rsf walikiuka sheria wakati wakiteka mji wa El Fasher.
    Skiza makala haya kufamu mengi
  • Jua Haki Zako

    Haki za wakimbizi awamu ya pili

    10/07/2026
    Awamu ya pili makala haya yanaendelea kuangazia haki za wakimbizi mawakili  Maasai Mutune na Rajab Membe, kutoka shirika la Refugee Led Organization Network nchini Kenya, wanajadili haki  hizo.
    Skiza kufahamu mengi.
  • Jua Haki Zako

    EAC : Haki za wakimbizi duniani

    22/06/2026
    Kila Juni 20 dunia huadhimisha siku ya wakimbizi duniani, juma hili mawakili Maasai Mutune na Rajab Membe, kutoka shirika la Refugee Led Organization Network nchini Kenya, wanajadili haki za wakimbizi.
    Skiza makala haya kufahamu mengi.
  • Jua Haki Zako

    Kenya: Harakati za kupambana na mimba za utotoni zapata sura mpya

    10/06/2026
    Lydia Mwende mwanamitindo na mwanaharakati ni mchanga ambaye amejitokeza kupinga mimba wa utotoni nchini na pia kulelewa na mzazi mmoja.
    Sikiliza makala haya kufahamu msimamo wa Mwende.
À propos de Jua Haki Zako
Jua Haki Zako ni makala yanayokuelimisha juu ya umuhimu wa kufahamu haki zako na sheria halali zilizomo kwenye jamii, mataifa na dunia kwa ujumla. Jua Haki Zako itakuelimisha juu ya masuala mbalimbali ya kisheria ndani ya Afrika Mashariki, Afrika na Duniani kwa ujumla.
Site web du podcast