PodcastsJua Haki Zako

Jua Haki Zako

Jua Haki Zako
Dernier épisode

57 épisodes

  • Jua Haki Zako

    Kenya: Wakulima wadogowadogo washinda kesi ya Sheria ya Mbegu na Mimea dhidi ya KEPHIS

    25/1/2026
    Nchini Kenya, Sheria ya Mbegu na Mimea (The Kenya Seed and Plants Varieties Act), ambayo ilitishia kuwatoza faini na kuwafunga jela wakulima wadogo kwa kugawana mbegu ambazo hazijaidhinishwa, iliamuliwa kuwa kinyume cha katiba.
    Mahakama ya Kikatiba katika kaunti ya Machakos nchini Kenya ilitoa uamuzi wa kihistoria Novemba 27 2025 kuhusu uhalali wa Sheria ya Mbegu na Aina za Mimea.
    George Ajowi amekuwa akifuatilia kesi hii na kuandaa taarifa ifuatayo.
  • Jua Haki Zako

    EAC : Dhuluma za kijinsia bado ni changamato kote duniani

    10/1/2026
    Makala haya yanaangazia namana gani dhuluma za kijinsia zinaweza kabiliwa.
    skiza kufahamu mengi zaidi.
  • Jua Haki Zako

    Kenya : Biashara ya ngono miongoni mwa vijana ni donda sugu

    07/1/2026
    Juhudi za pamoja zinaendelezwa ili kukomesha biashara haramu ya wototo pwani ya Kenya.
    Kufahamu mengi zaidi skiza makala haya.
  • Jua Haki Zako

    Kenya : Ahadi ya serikali kwa jamii za wachache

    23/12/2025
    Kila disemba 18 dunia huadimisha siku ya  Kimataifa ya Jamii za Walio Wachache  siku inayolenga kuzikumbusha serikali na jamii wajibu wa kulinda haki, heshima na ushirikishi wa makundi ambayo kwa miaka mingi yamekuwa yakidai kuachwa nje mipango ya serikali
    Nchini Kenya, jamii za walio wachache, zikiwemo jamii za wafugaji wanaohamahama, zimekuwa zikidai hazitambuliwi kikamilifu, kukosa huduma za msingi, na kutengwa katika maamuzi muhimu ya kitaifa.
    Makala haya yanaangazia mipango ya serikali ya Kenya kwa jamii hizo.
  • Jua Haki Zako

    Mpango wa kidijitali uliokwama unavyowanyima wanafunzi elimu ya kisasa Kenya

    21/12/2025
    Mwaka 2016, Serikali ya Kenya ilizindua Mpango wa Mafunzo kwa Njia ya Kidijitali (DLP), ikiahidi kubadilisha elimu ya msingi ya umma kupitia teknolojia. Awamu ya kwanza ikigharimu walipa kodi zaidi ya Shilingi bilioni 30, huku kukiwa na mpango wa kupanua mradi huo kwa makadirio ya Shilingi bilioni 64. Takribani miaka kumi baadaye, mpango huo unazidi kukabiliwa na matatizo makubwa na hatimaye kukwama hivyo kuwanyima wanafunzi wa shule za msingi haki zao za kupata elimu ya kidijitali.Sikiliza

À propos de Jua Haki Zako

Jua Haki Zako ni makala yanayokuelimisha juu ya umuhimu wa kufahamu haki zako na sheria halali zilizomo kwenye jamii, mataifa na dunia kwa ujumla. Jua Haki Zako itakuelimisha juu ya masuala mbalimbali ya kisheria ndani ya Afrika Mashariki, Afrika na Duniani kwa ujumla.
Site web du podcast
Applications
Réseaux sociaux
v8.3.0 | © 2007-2026 radio.de GmbH
Generated: 1/26/2026 - 9:34:17 AM